Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaanda mpango wa kurasimisha Ardhi

Ijumaa , 22nd Jul , 2016

Serikali ya Tanzania imesema kuwa imeandaa mpango maalum wa upimaji wa ardhi na urasimishaji wa maeneo yote yasiyopimwa katika jiji la Dar es Salaam ambapo viwanja zaidi ya laki tatu vitapimwa na wamiliki kupewa hati.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Moses Kusiluka,

Akizungumza jana Jijini Dar es Salaam, kuhusu mpango huo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Moses Kusiluka, amesema kuwa serikali imeamua kuja na mpango huo kwa sababu ya ukubwa wa jiji na wingi wa watu pamoja na ujenzi holela.

Dkt. Kusiluka masema kuwa baada ya mapango wa uhakiki,serikali itatoa hati za maeneo hayo na kusisitiza kuwa kazi hiyo wataifanya pia katika maeneo mengine ya miji mikubwa ikiwemo Mwanza na Arusha.

Katibu Mkuu huyo amesema kuwa urasimishaji huo utakuwa shirikishi kwa kuwahusisha watu wote wa maeneo yatakayopimwa na serikali ambapo wananchi wenye nyumba watashirikiana na viongozi wa serikali.

Amesema kuwa licha ya kuwepo kwa sheria zinazosimamia Sekta ya Ardhi nchini,bado sekta hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo migogoro ya wakulima na wafugaji,migogoro ya kijinai, migogoro ya mipaka na mengineyo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali