Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kumfikisha Mahakamani huyu

Jumatatu , 19th Feb , 2018

Serikali imeagiza Mkandarasi jengo la abiria uwanja wa ndege wa kimataifa wa Songwe uliopo katika Mkoa wa Mbeya, afikishwe Mahakamani kwa kushindwa kukamilisha kwa wakati ujenzi wa jengo la abiria katika uwanja huo.

Maagizo hayo yametolewa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Ndikiye wakati akifuatilia utekelezaji wa agizo la Waziri wa Wizara hiyo Prof. Makame Mbarawa ambapo aliagiza kampuni ya kiazalendo ya DB Shapriya ikamilike ujenzi kabla ya Januari 31 mwaka huu.

"Tunahitaji miradi ya serikali ambayo inawagusa wananchi ifanyike na imalizike. Tunataka awamu hii tuoneshe kwa vitendo kwamba tunataka kufanya kazi za nchi", amesema Mhandisi Atashasta.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa viwanja vya ndege vya mikoa, Joseph Nyahende amemweleza Naibu Waziri Ndikiye kuwa mradi huo ambao pia unahusisha ujenzi wa maegesho ya ndege na barabara, ulikuwa na thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 11 na kwamba hadi sasa serikali haidaiwi na mkandarasi, huku mhandisi mshauri wa mradi huo Silanda Dustan akiishauri serikali kutafuta njia mbadala ya kukamilisha kazi hiyo kwa vile mkandarasi wa sasa hana uwezo.

Msikilize hapa chini  Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Ndikiye akifafanua baadhi ya mambo.

 

HABARI ZAIDI

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera