Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kufanya ukaguzi kwenye fedha za walemavu

Ijumaa , 20th Mei , 2022

Naibu waziri Ofisi ya Waziri Mkuu kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu Patrobas Katambi amesema Serikali inakwenda kwenye hatua ya kufanya ukaguzi kuona kama fedha zilizotengwa na serikali kwajili ya walemavu zinawafikia ikiwa ni pamoja na kufanya tathimini ya kujua fedha hizo zinawafikia

Naibu waziri Patrobas Katambi ametoa kauli hiyo wakati wa ufunguzi wa chuo cha ufundi stadi na marekebisho cha Masiwani Jijini Tanga. 

Amesema Halmashauri zote nchini zinaendelea kuelekezwa kwamba katika makusanyo ya fedha za Halmashauri amesisitiza asilimia 2 iendelee kutolewa kwajili ya walemavu.

 
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Shirika la NSSF Mashaji Mshombe amesema jukumu la msingi la kutoa na kusaidia jamii katika masuala muhimu kwa maendeleo ya Taifa mojawapo ni elimu,  na afya. 

Mkuu wa chuo cha walemavu Masiwani Joyria Msuya na Mbunge wa viti maalumu Kigoma Zainab Katamba  wameitaka jamii kuwapenda watu wenye ulemavu. 

Maeneo ambayo yamejengwa vyuo vya walemavu  Nchini ni Daresalam,   Tabora,  Singida, Mtwara, Mwanza na Tanga ambapo Mkoa wa Tanga umetumia kiasi cha shilingi milioni 121 kwajili ya  ya kuwawezesha watu wenye ulemavu. 
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria