Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia afanya uhamisho wa viongozi na kuteua

Alhamisi , 16th Mar , 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya (DCEA) Gerald Kusaya, kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Rukwa.

Kushoto ni Ngussa Samike, ambaye ametenguliwa, katikati ni Gerald Kusaya RAS mpya Rukwa na kulia ni Ally Senga Gugu RAS mpya Dodoma

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa hii leo Machi 16, 2023, na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zuhura Yunus, ambapo pia amemteua Aretas James Lymo kuwa Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, akichukua nafasi ya Gerald Kusaya, aliyeteuliwa kuwa RAS Rukwa

Mwingine aliyeteuliwa ni Ally Senga Gugu kuwa Katibu Tawala mkoa wa Dodoma, na kabla ya uteuzi huo alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara.

Aidha Rais Samia ametengua uteuzi wa aliyekuwa Katibu Tawala mkoa wa Lindi Ngussa Samike na kumteua Zuwena Omar Jiri ambaye alikuwa RAS mkoa wa Pwani. Samike atapangiwa kazi nyingine.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine