Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Popobawa aingilia wake za watu usiku Morogoro

Ijumaa , 23rd Sep , 2022

Wakazi wa Kijiji cha Igawa, Malinyi mkoani Morogoro, wameiomba serikali wilayani hapo kuwasaidia kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa popo bawa anayewaingilia watoto wa kike na wake za watu nyakati za usiku, na kwamba wanahofu ya kupata magonjwa ikiwemo VVU.

Baadhi ya wanaume waliozungumzia changamoto ya wake zao

Wananchi hao wamedai popobawa huyo alikuwa anatumia imani za kishirikina ndipo aingie ndani ya nyumba na kutekeleza matukio hayo.

Hali hiyo imemlazimu Mkuu wa wilaya ya Malinyi Mathayo Masele, kufika kwenye Kitongoji hicho na kukutana na baadhi ya wakazi wa eneo hilo, na kusema kwamba Popobaya huyo amepelekea wanaume wasiheshimike ndani ya ndoa zao kwani imefikia hatua wakiamka wanakuta wake zao wameshaingiliwa.

Kufuatia tukio hilo Mkuu wa Sungu Sungu kitongoji cha Igoloka Pius Mbala amesema sungusungu kwenye kitongoji hicho wamefanikiwa kumkamata popobawa huyo ambaye anatuhumiwa kufanya matukio hayo pia ni binadamu mwanumume na jina lake limehifadhiwa.

Kutokana na changamoto hiyo Mkuu wa wilaya ya Malinyi akizungumza na wakazi wa kitongoji hicho baada ya kufika mara moja katika eneo hilo, amewaomba wakazi hao kuwa watulivu na kwamba Jeshi la Polisi linafuatilia ukweli wa taarifa hizo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine