Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Polepole aelezea kifo cha Mwenyekiti UVCCM, Iringa

Jumapili , 27th Sep , 2020

Katibu Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Humphrey Polepole aelezea yaliyomsibu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Iringa, marehemu Emmanuel Polycupy Mlelwa hadi kukutwa na mauti huku akilitaka jeshi la polisi kuendelea kufuatilia tukio hilo.

Marehemu Emmanuel Polycupy Mlelwa.

Akiwa kwenye mkutano wake na waandishi  leo Septemba 27, Polepole amesema kuwa  Chama cha Mapinduzi kimefuatilia jambo hilo kwa uchungu mkubwa.

Tunafahamu, sitaki kusema ili nisiingilie upelelezi wa polisi wamefanya mawasiliano na huyu kijana, wameomba kukutana naye, wakamteka, wamepotea naye tumekuja kukuta mwili wa kijana huyu eneo la Kibwena bwawani, amepigwa ameumizwa, amepoteza maisha yake" alisema Polepole

Aidha Polepole ametoa rai kwa jeshi la polisi  kufanya upelelezi huku akisema  kuwa hawako tayari kufanya siasa kwenye nchi hii inayomwaga damu.

Sisi CCM tumefuatilia natunatoa rai kwa jeshi la polisi tafadhali wakati mwingine upelelezi unachukua muda bila sababu ya msingi, kipindi hiki ukweli unajulikana hatuko tayari kufanya siasa katika nchi hii tunamwaga damu nakupoteza maisha ya watanzania akiwemo kijana huyu mdogo” alisema Polepole

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera