Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Pikipiki,bajaji zitumie muda uliobaki kujisajili

Jumamosi , 2nd Mei , 2015

Mamlaka ya mapato TRA mkoani Iringa kupitia idara ya huduma na elimu kwa mlipakodi imewataka wamiliki wa pikipiki na bajaji kutumia kikamilifu muda ulioongezwa kusajili pikipiki zao.

Meneja wa Mamlaka ya Mapato Mkoa wa Iringa Rosalia Mwenda akitoa taarifa kwa vyombo vya habari ofisini kwake.

Afisa elimu wa idara ya huduma na elimu kwa mlipa kodi mkoani iringa Bw. Faustina Masunga amesema kuwa pamoja na serikali kuongeza muda wa wamilki hao wa pikipiki na bajaji kufanya usajili wa vyombo vyao bado wamekuwa wakisuasua katika kutekeleza zoezi hilo.

Bw. Masunga ameyasema hayo kufuatia malalamiko ya hivi karibuni ya waendesha pikipiki kulalamikia shughuli za usajili kukumbwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutumia muda mrefu.

Aidha, ameongeza kuwa baadhi ya wamiliki wamekuwa wakilalamikia gharama za kusajili vyombo hivyo vya moto kutofautiana na kupelekea kudhani kuwa kuna utapeli ilihali ni gharama za kawaida kutokana na malimbikizo ya madeni ya wamiliki hao.

Pia, amebainisha kuwa kuna watengezaji wa vibao vya pikipiki na bajaji ambao wamesajiliwa kwajili ya kazi hiyo na hivyo kurahisisha utoaji wa huduma hiyo kwa wahitaji.

Hata hivyo, afisa elimu wa idara ya elimu na huduma kwa mlipa kodi wa TRA mkoani Iringa Bw. Faustine Masuga ametoa wito kwa wamiliki wa pikipiki ambao wapo nje ya manispaa kwenda katika vituo vya polisi kwaajili ya ukaguzi na kuja na fomu ya ukaguzi kwaajili ya kulipia na kuchukua kadi.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine