Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Odinga aeleza alivyoshtushwa na matokeo ya Urais

Jumanne , 16th Aug , 2022

Aliyekuwa mgombea Urais kupitia Azimio, Raila Odinga, amesema kwamba yeye, chama chake na wakenya kwa ujumla walishtushwa na matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Wiliam Ruto, yaliyotangazwa na Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati na kusema yeye hayatambui.

Raila Odinga, wakati akizungumza baada ya matokeo kutangazwa

Kauli hiyo ameitoa hii leo Agosti 16, 2022, wakati akizungumza na wananchi wa Kenya, ambapo amesisitiza kwamba matokeo hayo ni batili kwani Mwenyekiti Chebukati hakutoa fursa kwa makamishna wengine katika hatua za mwisho za uhesabuji wa kura hadi utangazaji wa matokeo na kwamba atafuata sheria zaidi.

"Mimi binafsi na chama changu cha Azimio na Taifa kwa ujumla jana tulishtushwa kumuona Chebukati (Mwenyekiti wa IEBC) peke yake kuamua kumtangaza mshindi wa kiti cha Urais katika uchaguzi wa mwaka 2022," amesema Odinga 

Aidha Odinga ameongeza kuwa, yeye pamoja na Wakenya kwa ujumla hawatokubali mtu mmoja atokee na kujaribu kubadilisha maamuzi ya wananchi waliyoyafanya Agosti 9 mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90