Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyumba ya Patrobas yanusurika kuchomwa moto

Ijumaa , 30th Oct , 2020

Nyumba ya Mbunge mteule wa Jimbo la Shinyanga Patrobas Katambi wa Chama cha mapinduzi CCM imenusurika kuchomwa moto usiku wa kuamkia leo na watu wasiojulikana.

Mbunge mteule wa jimbo la Shinyanga Mjini Patrobas Katambi

Kamanda wa jeshi la polisi Mkoani Shinyanga, Debora Magiligimba, amesema tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia leo majira ya saa sita 6: 45 usiku katika mtaa wa Ushirika Manispaa ya Shinyanga, ambapo Patrobas Katambi akiwa amelala nyumbani kwake pamoja na ndugu zake alisikia kishindo juu ya paa la choo cha nje na walipoangalia waliona moto unawaka nakuanza kuuzima moto huo.

Aidha baada ya kufuatilia waliona gari aina ya Toyota Clugger lenye rangi ya Silver limepaki pembeni huku watu wawili wakikimbia kwenda kupanda gari hilo.

Kamanda Magiligimba amesema kuwa baada ya kufuatilia gari hilo wamebaini kuwa ni la aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Shinyanga mjini Salome Makamba kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye anatafutwa na jeshi la polisi pamoja na mdogo wake Timoth Makamba.

Tayari watu wawili wamekamatwa na jeshi la polisi ambao ni Wilson Saluti, na Jackson Peter, wakiwa ndani ya gari hilo lenye namba za usajili T 729 DFP mali ya Salome Makamba.

 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria