Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AUDIO : Niyonzima afunguka kifo cha Ndikumana

Jumatano , 15th Nov , 2017

Mchezaji wa Klabu ya Simba raia wa Rwanda Haruna Niyonzima amefunguka na kusema kuwa kinachodaiwa kupelekea kifo cha Mchezaji mwenzake Hamadi Ndikumama ni maumivu ya kichwa.

Akizungumza na EATV Website, Niyonzima amesema kuwa taarifa za awali azilipotokea kutoka Rwanda, zimesema kwamba Ndikumana alianza kupata maumivu ya kichwa  jioni mara baada ya kumaliza mazoezi kwenye timu yake.

Haruna amesema kwamba "Ndikumana hakuwa mgonjwa bali kwa taarifa nilizopokea ni kwamba alianza kuumwa na kichwa baada ya kumaliza mazoezi jana jioni. Alidhani ni maumivu ya kawaida kwamba na baadae yatakwisha lakini baadae yalimzidia na kuamua kwenda hosipitali na ndipo alipofariki usiku wa kuamkia leo.

Ameongeza "Ninachofahamu mimi Ndikumana alikuwa na maradhi ya moyo lakini nikipata tarifa zaidi kutoka kwa watu walipo nyumbani nitajua zaidi nini chanzo"

Kabla ya kufikwa na umauti Katauti alikuwa kocha msaidizi wa kikosi cha Rayon Sports ya Rwanda, enzi za uhai wake aliwahi kuichezea klabu ya Stand United ya Shinyanga akitokea timu ya Cyprus.

Ndikumana amewahi kuwa Mume wa muigizaji Irene Uwoya ambapo walifunga ndoa mwaka 2009 na kujaaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume (Krish) kabla ya kutengana baadaye.

Msikilize hapa chini Niyonzima akielezea.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali