Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NEC yatolea ufafanuzi vituo vya upigaji kura

Alhamisi , 8th Oct , 2015

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imetolea ufafanuzi kuhusu vituo vya kuandikisha kupiga kura, karatasi za kupigia kura na utaratibu wa upigaji wa kura huku wakiwataka viongozi wa vyama vya siasa kuwaambia ukweli wananchi na kufuata sheria za Uchaguzi

Mkurugenzi wa masuala ya Sheria wa NEC, Bw Emmanuel Kawishe

Akiongea na East Africa radio Mkurugenzi wa masuala ya Sheria wa NEC, Bw Emmanuel Kawishe amesema kuwa ugawaji wa vituo vya kupigia kura umefuata sheria na vituo vimegawanywa kwa vipengele ili kurahisisha upigaji kura kwa wananchi na hakuna kituo chochote kilichoongezeka.

Aidha Bw, Kawishe ameongeza kuwa viongozi waache kuwadanganya wananchi kuhusu karatasi za kupigia kura kuwa zinahamisha alama za mgombea na kusema kabla ya kupeleka vituoni vyama vyote vinahakiki karatasi hizo huku akiwataka wananchi kufuata sheria ya kutokuweka mikusanyiko mara ya kupiga kura kama wanavyoelekezwa na viongozi wa vyama vyao.

Kawishe amesema kuwa kwa mujibu wa sheria kila chama kinatakiwa kuweka wakala ndani ya chumba cha upigaji kura na ndio mwenye jukumu la kuhesabu kura, hivyo kuweka mikusanyiko isiyokuwa na kibali ni kuhatarisha amani kwa kuwa ni kinyume cha sheria.

Amesema tume inaendesha mchakato wa uchaguzi mkuu kwa mujibu wa sheria kama ilivyofanya miaka ya nyuma na itatangaza matokeo kwa utaratibu ule ule ambao utaondoka kero na sintofahamu kwa vyama na wananchi kwa ujumla.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria