Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NEC yataka vyama kutoa elimu siku ya upigaji kura

Jumatatu , 19th Oct , 2015

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imewataka viongozi wa vyama vya siasa kutoa Elimu kwa wanachama wao kwa kuzingatia na kutekeleza sheria ya uchaguzi ,Maelekezo na kanuni za tume hiyo ili kuhakikisha uchaguzi mkuu unafanya kwa amani na utulivu.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Damian Lubuva.

Hayo yamesemwa na kamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, Bi. Asina Omary wakati akiwasilisha taarifa kwa umma kuhusu maelekezo ya mambo yasiyoruhusiwa kufanyika siku ya kupiga kura katika mkutano na vyama vya siasa mkoani Shinyanga.

Bi. Asina amesema kuwa Vyama vya siasa vina nafasi kubwa ya kutumia majukwaa ya kisiasa kuanza kumasisha na kuelemisha juu ya sheria ya Uchaguzi na mambo ambayo hayatakiwi kufanywa siku ya uchaguzi ikiwemo kuvaa nguo za vyama.

Kwa upande wa kaimu mkuu afisa uchaguzi kanda ya kati Bi. Martina Magaula amewataka wananchi kuepuka kuvaa sare za vyama au kufanya kampeni katika vituo vya kupigia kura siku ya uchaguzi mkuu utakaofanya Oktoba 25.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya