Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namthamini yapiga mhuri kwa watu Tabora

Alhamisi , 15th Aug , 2019

Mkuu wa mkoa wa Tabora Mh. Aggrey Mwanri, ameipokea kampeni ya Namthamini ya East Africa Television na East Africa Radio, ambayo imefanikisha wasichana zaidi ya 1000 kubaki shuleni kwa mwaka mzima kwa kuwapatia taulo za kike.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akipokea taulo za kike kwaajili ya wanafunzi wa shule ya sekondari Ndono.

Akiongea leo Agosti 14, 2019 kwenye zoezi la ugawaji wa taulo za kike katika shule ya sekondari Ndono iliyopo wilayani Uyui, Mwanri amesema kitendao cha East Africa Television na East Africa Radio kupitia kampeni ya Namthamini, kupeleka pedi mkoani Tabora kimeweka alama ya kudumu.

''East Africa Television na East Africa Radio mmepiga mhuri katika mioyo ya watu wa Tabora, hatutakaa tusahau hili jambo mlilolifanya hapa'' - Mh Aggrey Mwanri Mkuu wa Mkoa wa Tabora.

Aidha Mkuu huyo wa mkoa ameiunga mkono kampeni ya Namthamini kwa kutoa kiasi cha shilingi Mil 1, kwaajili ya kuongeza taulo hizo katika shule za Ndono na Idete zote za wilayani Uyui.

Shule hizi mbili ni sehemu ya shule 4 zitakazopata pedi za kutosha wanafunzi kwa mwaka mzima mkoani Tabora. Huu ni mwendelezo wa zoezi la ugawaji wa Pedi hizo baada ya kuanza katika mikoa ya Arusha na Manyara.

Ikumbukwe kuwa kampeni ya Namthamini inaendelea kwa mwaka wa tatu sasa, na tayari imeshagusa maisha ya wanafunzi wa kike zaidi ya 5000 kote nchini.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria