Wananchi wa Kijiji cha old Misungwi
Akizungumza na EATV mtoto huyo amesema mzee huyo amekuwa akimdanganya anamfundisha tohara inavyofanywa kisha anamuingilia kinyume na maumbile hadi mara hii alipokutwa kichakani na mashuhuda.
Kwa undani wa taarifa hii usikose kutazama EATV Saa 1 leo Septemba 22, 2022.