Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee Issa asifika kwa utatuzi wa migogoro Mtwara

Jumatano , 25th Jan , 2023

Mahakama ya  mwanzo Msimbati, wilaya ya Mtwara imekosa wateja kutokana na kuwapo kwa Mzee  Issa Mkumba (60), ambaye pia ni Mwenyekiti wa kitongoji cha Mtandi Majengo, ambaye anaaminiwa na jamii yake kutokana na uwezo wake mkubwa wa  kutatua migogoro licha ya kutokuwa na taaluma ya sheria

Ikiwa hii ni wiki ya sheria yenye kauli mbio inayosema,   umuhimu wa  utatuzi wa migogoro kwa njia ya usulushi wajibu wa mahakama na wadau,   kwa Mkoa Mtwara uzindua  umefanyika katika  Mahakama kuu kanda ya Mtwara, ambapo  inabainika kuwapo kwa kesi chache katika mahakama ya Mwanzo Msimbati, baada ya kugundua  uwapo kwa Mzee Issa Mkumba,   ambaye amekuwa akitatua migogoro kwa wakazi wa eneo hilo, 

 Jaji  Mfawidhi  Mahakama kuu Kanda ya Mtwara Zainabu Muruke, ametoa rai kwa wakazi wa Mkoa wa Mtwara, kutatua migogoro yao kwa njia ya usuluhishi, badala ya kukimbilia mahakamani ambapo wamekuwa wakipoteza muda mwingi, na kushindwa kufanya kazi  za kujiingizia kipato.
 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90