Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwelekeo wa vijana wasomi hauleti matumaini - EAC

Ijumaa , 5th Dec , 2014

Asilimia kubwa ya vijana wasomi katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wanatumia muda mwingi kutumia mitandao ya mawasiliano kwa mambo yasiyo na tija jambo linaloanza kuleta hofu ya kundi hilo kushindwa kusaidia kuleta ufumbuzi wa matatizo.

Asilimia kubwa ya vijana wasomi katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wanatumia muda mwingi kutumia mitandao ya mawasiliano kwa mambo yasiyo na tija jambo linaloanza kuleta hofu ya kundi hilo kushindwa kusaidia kuleta ufumbuzi wa matatizo mbalimbali yanayozikabili nchi.

Akizungumza baada ya kukutana na vijana kutoka taasisi mbalimbali za nchi zote wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katibu mkuu wa jumuiya hiyo Dr. Richard Sezbera amesema inasikitisha kuona vijana wengi wanatumia fursa hiyo kwa mambo ambayo hayawasaidii wao wenyewe wakati yapo matatizo mengi ambayo wangeweza kusaidia.

Akizufungua kongamano la vijana hao linalofanyika Arusha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya habari Prf Elisante Olle Gabrilel amesema kuna haja ya nchi wanachama kufanya kazi ziada ya kuwasaidia vijana kujitambua na kujua nafasi na fursa walizonazo kujiwezesha wao wenyewe na nchi zao.

Nao baadhi ya vijana wamesema tatizo kubwa lipo katika mifumo isiyo rafiki jambo ambalo lisiporekebieshwa matatizo yanayolalamikiwa sasa yataendelea kuwepo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine