Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanaume aliyebadili jinsia anyonyesha mtoto

Jumapili , 18th Feb , 2018

Mwanaume mmoja ambaye alijibadilisha jinsia na kuwa mwanamke nchini Marekani, ameweza kunyonyesha mtoto kwa maziwa yake, na kuweka rekodi ya mtu kuwahi kufanya hivyo duniani. Kwa mujibu wa watafiti.

Mwanamke huyo kwa sasa mwenye umri wa miaka 30 aliamua kufanya hivyo baada ya mpenzi wake kukataa kunyonyesha mtoto waliyekuwa wakitarajia kumpata.

Mtu huyo ambaye sasa ni mwanamke aliweza kufanya hivyo baada ya kutumia dawa na mashine ya ku-'pump' maziwa, huku watafiti wakisema matokeo ya tukio hilo yanaweza yakasababisha watu wengi waliobadili jinsia kutaka kufanya hivyo.

Taarifa zinasema kwamba mwanamke huyo alikuwa akipata tiba ya kubadilishiwa homoni kwa muda wa miaka 6, na hakuwahi kufanya upasuaji wa kubadili jinsia wakati amewafuata madaktarai kuwaelezea mpango wake wa kutaka kunyonyesha.

Kabla mtoto huyo hajazaliwa madaktari walimpa mafunzo maalum ya tiba kkumsaidia kutengeneza maziwa feki, ambayo mara nyingi hupewa kina mama ambao wameasili mtoto au wamepata mtoto kwa njia ya 'Surrogate', ikiwemo kupump maziwa, kuwekewa homoni za mama asili wa mtoto, na dawa amabzo zinasisimua uzalishaji wa maziwa na kuzuia homoni za kiume

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine