Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mvua yasababisha maafa, yaharibu taasisi tano

Jumatano , 22nd Feb , 2017

Mvua iliyoambatana na upepo wa kimbunga, umesababisha majanga kwa wakazi wa kijiji cha Mtera wilayani Mpwapwa mkoa wa Dodoma, baada ya nyumba 93 na taasisi tano kuharibiwa zikiwamo shule mbili na kanisa.

Picha: Maktaba

Akizungumza kwa njia ya simu leo akiwa njiani kuelekea sehemu ya tukio, Mkuu wa wilaya hiyo, Jabir Shekimweri, amesema mvua hiyo iliyonyesha juzi mchana katika kijiji cha Mtera, ilisababisha maafa hayo kwa wakazi wa kijiji hicho.

“Ni kweli mvua imesababisha madhara katika kijiji hicho kwa kuezua nyumba 93 yakiwamo majengo mawili ya taasisi za serikali, makanisa matatu na kujeruhiwa na watu watatu,” amesema Shekimweri.

Shekimweri amesema katika nyumba hizo zilizoharibiwa na kimbunga hicho, 40 zimeezuliwa kabisa, 41 zimeezuliwa nusu ya nyumba huku nyumba 12 zikiwa zimeondolewa kati ya bati mbili na tano.

Jabir Shekimweri - DC Mtera

Amesema kati ya watu watatu waliojeruhiwa kutokana na athari hiyo na kukimbizwa hospitalini, wawili waliruhusiwa baada ya kufanyiwa matibabu na mmoja bado anaendelea kutibiwa kutokana na kuvunjika mguu.

Sehemu mbalimbali ya mkoa wa Dodoma, mvua iliyodumu kwa saa nne ilinyesha jana kuanzia saa 3:30 asubuhi hadi saa 8 mchana, hivyo kusababisha madhara katika baadhi ya maeneo.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine