Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Muhimbili yafanikisha 'upasuaji wa ajabu'

Jumatatu , 20th Feb , 2017

Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na daktari bingwa wa upasuaji wa watoto kutoka Falme za Kiarabu kwa mara ya kwanza wamefanikiwa kufanya upasuaji mkubwa wa mfumo wa chakula na njia ya haja kubwa kwa njia ya matundu madogo.

Madaktari bingwa Hospitali ya Taifa Muhimbili wakiendelea na zoezi la upasuaji wa tumbo kwa njia ya matundu.

 

Hayo yameelezwa leo na Daktari Bingwa wa upasuaji kwa watoto kutoka hospitali hiyo Dkt. Zaituni Bohari wakati wa zoezi la upasuaji huo ambao wamefanyiwa watoto wenye umri wa miaka 10 kutoka Zanzibar na Tanzania Bara na kuongeza kuwa wanategemea huduma hiyo kuanza kuifanya kwa watu wazima pia.

Amesema zoezi hilo litafanyika nchini kwa muda wa siku tano na wanategemea kuwafanyia watoto takribani 6 na kwamba njia hiyo ya upasuaji inapunguza gharama ya kusafirisha wagonjwa kwenda nje ya nchi kupatiwa matibabu kama hayo ambayo yalikuwa hayatolewi nchini huku akisema pia sasa bado hawajaweka bei elekezi ya huduma hiyo.

Amesema upasuaji huo hufanyika kwa muda wa saa zisizopungua nne kulingana na ukubwa wa tatizo hivyo ni wajibu sasa kwa kila mwananchi pindi aonapo hali isiyo ya kawaida katika mwili wake aende hospitali kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi zaidi nbadala ya kusubiri tatizo kuwa kubwa.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90