Mtoto aliyeokolewa ndani ya shimo la choo akisafishwa
Kaimu Mkuu wa Jeshi hilo mkoa wa Kagera, Thomas Majuto, amesema kuwa mtoto huyo alitupwa katika shimo la choo cha shule ya msingi Rukanyange Desemba 01 mwaka huu na kwamba walipopata taarifa walifika haraka eneo la tukio na kufanikiwa kumwokoa akiwa hai.