Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkurugenzi aelekeza wenyeviti 8 kukamatwa

Alhamisi , 31st Dec , 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, Fabian Manoza, ameagiza kukamatwa na kuwekwa ndani wenyeviti wa vitongoji 8, katika Kata ya Itinje wilayani humo, wanaodaiwa kula fedha za michango ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya sekondari ya Kata hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, Fabian Manoza.

Mkurugenzi huyo ametoa amri ya kukamatwa kwa viongozi hao wa serikali za mitaa, kwenye ziara yake ya kukagua na kuhamasisha ujenzi wa vyumba vya madarasa, iliyoshirikisha kamati ya ulinzi na usalama pamoja na kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani hapo na kujionea kukwama kwa ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya sekondari ya Kata ya Itinje.

"Hapa kuna mambo makubwa mawili ikiwemo ya hawa wenzetu waliokula hela zetu na hawataki kurejesha sisi tunachotaka ni majina yao wale ambao wanafedha zetu, OCD hawa tunaondoka nao itakapofika wakati wa kufungua shule wote waanze shule", amesema DED Manoza.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Anthony Philip, amesema kuwa wiki ijayo halmashauri yake itatoa shilingi milioni 40 kwa ajili ya ujenzi wa sekondari hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine