Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkurugenzi Mtendaji BMH akutana na mabalozi

Alhamisi , 24th Nov , 2022

Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa Dkt.Alphonce Chandika, leo amekutana na mabalozi wa Tanzania waliopo Mashariki ya kati, Ulaya na Amerika, Asia kwa dhumuni la kuwaeleza mafanikio yaliyo letwa na Serikali katika sekta ya afya.

Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Benjamin Mkapa Dkt.Alphonce Chandika

Dkt. Chandika amesema kuwa "Serikali imewekeza pesa nyingi kwa kuweka majengo mazuri, vifaa tiba vya kisasa na rasilimali watu, hivyo nasi tunatoa huduma kwa viwango hivyo hivyo, tokea Hospitali ianzishwe mahusiano baina ya Hospitali na nchi za nje yamekuwa yakiimarika siku kwa siku"

Kwa upande wake Mhe. Balozi Dkt Asha Rose Migiro, ameipongeza Hospitali kwa kuwa imekuwa ikitoa huduma zinazoendana na teknolojia ya sasa tena kwakuzingatia huduma kwa mteja. 

"Ukifika Hospitali ya Benjamin Mkapa huitaji kujitambulisha ili upate huduma nzuri maana utahudumiwa kwa kiwango kizuri pasipo kujali wadhifa wako kwakweli mnastahili pongezi kubwa, endeleeni na moyo huo wa kuwahudumia wananchi pasipo kubagua" amesema Dr Migiro, ambaye ni Balozi wa Tanzania nchini Uingereza.

Aidha Mhe. Balozi Swaiba Mndeme ameeleza nimuhimu kuzisaidia Taasisi zetu hususani Hospitali, "Tunaposaidia hizi Hospitali tunakuwa tumewafikia wananchi moja kwa moja nasi shabaha yetu iwe ni kuwasidia wananchi kwa kuiunganisha BMH na wataalamu walipo kwenye nchi tulizopo".

Hospitali ya Benjamin Mkapa ilizinduliwa Oktoba 13, 2015, na tangu izinduliwe imekuwa ikikuwa kwa kasi kubwa huku ikitoa huduma zake kwa ubunifu wa hali ya juu.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria