Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mgogoro wa wavuvi wa Tanzania na Kenya kutatuliwa

Jumatano , 17th Aug , 2022

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Hamad Masauni amesema serikali inaangalia namna ya kutafuta ufumbuzi wa kutatua tatizo la kimpaka kwenye bahari ya Hindi kati ya Tanzania na Kenya baada ya kuwepo kwa muingiliano wa shughuli za uvuvi kati ya wavuvi wa nchi hizo mbili 

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Hamad Masauni

 

Waziri Masauni ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa kwenye ziara ya kutembelea bandari ndogo ya Moa na baadae Horohoro kwenye  mpaka wa Tanzania na Kenya. 

Amesema kuwa  kati ya mambo ambayo serikali inataka kuanza nayo ni pamoja na kuanzisha kitengo cha uhamiaji cha wanamaji kitakachosaidia pindi kikosi maalumu cha kuzuia magendo Zanzibar KMK watakapoondoka wilayani humo kazi ya kulinda mipaka na usalama ifanywe na jeshi hilo la uhamiaji.

 
Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Kanal Maulid Sulumbu amekiri ukosefu wa kituo cha polisi katika eneo kuimarisha masuala ya ulinzi kutokana na eneo hilo kuwa lango la wahamiaji haramu. 

Ziara ya Waziri Masauni imekuja siku moja mara baada ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kutembelea katika wilaya hiyo ambapo alikutana na kero ya wahamiaji haramu wanaopitia mpaka wa Horohoro

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria