Picha ya gari kwenye eneo la ajali
Gari hilo limepinduka mara tatu katika kijiji cha Lipepo mkoani Ruvuma walipokuwa kwenye msafara wa Naibu Katibu Mkuu wa (CCM) Tanzania Bara, Bi. Christina Mndeme.
Kwenye gari hiyo alikuwepo mbunge Vita Kawawa, dereva wake na wasaidizi wake wawili ambao wote wamenusurika.