Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Maombi yaambatane na tahadhari'' - RC Makalla

Jumapili , 18th Jul , 2021

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo ameshiriki kongamano la Amani lililokwenda sambamba na Dua Maalumu ya Kuombea Viongozi sambamba na Maombi ya kuliombea Taifa dhidi ya Ugonjwa wa Corona ambapo ametoa wito kwa wananchi kulinda na kuitunza Amani.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla

Akizungumza wakati wa Kongamano hilo lililoandaliwa na Kituo Cha dua Cha Maalim Qassim, RC Makalla ametoa wito kwa wananchi kumuunga mkono Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ili aweze kutimiza matamanio yake ya kuboresha maisha ya Wananchi.

 Aidha RC Makalla amewataka Wananchi kutokubali kugawanywa na mtu au kikundi Cha watu Wenye lengo la kuvuruga amani huku akiwataka kujihadhari na fitina.

 Pamoja na hayo RC Makalla ameendelea kuwasisitiza Wananchi kuchukuwa tahadhari dhidi ya Ugonjwa wa Corona.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Kituo hicho Maalim Qassim amemshukuru RC Makalla kwa kukubali ombi la ulezi wa Kituo hicho na ameahidi kuendelea kushirikiana na Serikali Katika Mambo mbalimba kwakuwa mbali na Kituo hicho kujihusisha na Dua pia kimekuwa walezi wa vituo vya watoto yatima.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine