Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama na watoto wake wawili wafariki kwa moto

Jumatano , 30th Nov , 2022

Mama na watoto wake wawili  katika Mtaa wa Igomelo Kata ya Malunga Halmashauri ya Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wamepoteza maisha baada ya nyumba waliyokuwa wanaishi kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo majira ya saa 11 alfajiri.

Mkuu wa Wilaya ya Kahama Festo Kiswaga amesema chanzo cha moto huo bado hakijafahamika, huku akithibitisha kutokea vifo vya watu watatu wakiwemo wanafunzi wawili wa shule ya msingi St. Anthony wa Padua.

Nyumba iliyoteketea kwa moto inamilikiwa na Mathayo Samson mkazi wa Igomelo Kahama huku waliopoteza maisha kwenye tukio hilo ni Dotto Juma (33) ambaye ni mama wa familia, Samson Mathayo (13) mwanafunzi wa darasa la sita na Joseph Samson mwenye umri wa miaka tisa mwanafunzi wa darasa la pili.

Matukio ya moto yamekuwa yakitokea mara kwa mara katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Shinyanga ambapo tukio hili ni la tano kutokea ndani ya mwezi mmoja na kusababisha vifo vya watu kadhaa pamoja na kuteketeza mali

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali