Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majaliwa aahidi Pwani kuwa shwari

Jumanne , 27th Jun , 2017

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema kuwa serikali kupitia vyombo vyake inafanya jitihada za makusudi kudhibiti kuendelea kwa mauaji ya raia, askari na viongozi wa kada mbalimbali Wilayani Kibiti Mkoani Pwani.

Waziri Mkuu, Waziri Kassim Majaliwa

Mhe Majaliwa ametoa kauli hiyo jana wakati akitoa nasaha za kwenye Baraza la Idd lililofanyika kitaifa kwenye msikiti wa Riadhi,Mjini Moshi,Mkoani Kilimanjaro mara baada ya kuswali sala ya Idd.

Waziri Mkuu Majaliwa amesema serikali imejidhatiti kuyakabili yanatokea wilayani Kibiti lakini ametumia fursa hiyo kuwataka raia wema kutoa ushirikiano kwa vyombo vya dola kwa kuwataja wale wote ambao wanahusika katika mauaji hayo.

"Tunachokifanya kwa sasa ni kuhakikisha kwamba tunawapata wahalifu halisi ili kuepuka kuingiza watu wasiohusika na kama vile hao wenye hisia kwamba mauaji yanafanywa labda na Waislamu nasema si kweli. Kazi kubwa inayofanywa sasa ni kuchuja nani hasa anayeshiriki kwenye jambo hili. Pia tunashukuru kw jinsi Watanzania wanavyojitahidi kutusaidia ni nani na nani ni wahusika" Mhe. Kassim Majaliwa.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria