Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahakamani kwa kubaka watoto 14

Jumapili , 22nd Oct , 2017

Jeshi la Polisi mkoani Singida linatarajia kumfikisha Mahakamani Minga Daud Idd ambaye ni mganga wa kienyeji mkazi wa mtaa wa Minga kwa tuhuma ya kunajisi watoto 14.

Kaimu kamanda wa Polisi mkoa wa Singida Isaya Mbughi amethibitisha hilo ambapo amesema upelelezi unaendelea na muda wowote kuanzia kesho mtuhumiwa huyo Daud Idd mwenye miaka 74 atafikishwa mahakamani.

“Ni kweli tunamshikilia Daudi Idd kwa tuhuma ya kunajisi watoto 14 wenye umri kati ya miaka saba na 12 na kuwasababishia maumivu makali katika sehemu zao za siri, na upelelezi unaendelea ambapo muda wowote kuanzia kesho atafikishwa mahakamani”, amesema Kamanda Mbughi.

Kamanda amesema walibaini vitendo hivyo Oktoba 16 baada ya mtoto mmoja mwenye umri wa miaka saba kulalamika kuwa anasikia maumivu sehemu za siri akiwa anaogeshwa na Mama yake, ndipo Mama yake akafuatilia na mtoto kueleza kuwa vitendo hivyo hufanyiwa yeye na wenzake.

Baada ya Mama huyo kuambiwa na mwanae kuwa Mzee Daud maarufu Babu Karatu ndio anawafanyia vitendo hivyo Mama aliripoti kwa mwenyekiti wa mtaa wa Minga kisha wakaripoti Polisi ndio hatua za kumkamata mganga huyo wa kienyeji zikafuata.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya