Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli awapa siku 7 Waziri Gwajima na Jafo

Jumatano , 27th Jan , 2021

Rais Dkt John Magufuli, amewapa siku 7 Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima na Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, kuhakikisha wanaweka usawa katika suala la ugawaji wa madawa kwa mkoa wa Geita, kwani licha ya kwamba bajeti ya dawa imeongezeka lakini mkoa huo umekuwa ukipata dawa chache.

Kushoto ni Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima na kulia ni Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Januari 27, 2021, wakati akizindua majengo ya kituo cha afya cha Masumbwe, na ndipo alipobaini changamoto ya upunjwanji wa mgao wa madawa, licha ya kwamba bajeti ya madawa imeongezeka, hali aliyopelekea kutoa maagizo haya.

"Inawezekana kuna upunjaji wa mgawo wa madawa katika maeneo ya mkoa huu ikiwepo Masumbwe, bajeti ya madawa imeongezeka lakini dawa zinazotolewa katika mkoa huu ni chache, Waziri wa Afya na Waziri TAMISEMI mnaopanga bajeti ya madawa mkakae ndani ya siku 7 mje na majibu ni kwa namna gani madawa yataongezeka katika hospitali ya Masumbwe na maeneo mengine", amesema Rais Dkt. Magufuli.

Aidha Rais Magufuli pia aligusia suala la idadi ya watumishi wa afya katika Hospitali hiyo ya Masumbwe, na kuacha maagizo kwa Wizara ya Afya na TAMISEMI na kuzitaka ziwe na ushirikiano ili mambo yaende vizuri.
 

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera