Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

LATRA yaagiza wamiliki mabasi ya masafa marefu

Jumanne , 11th Aug , 2020

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini nchini (LATRA) imewataka wamiliki wa mabasi ya masafa marefu kuweka utaratibu sahihi utakaosaidia kuondoa usumbufu kwa abiria wao pamoja na wamiliki.

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini nchini (LATRA) imewataka wamiliki wa mabasi ya masafa marefu kuweka utaratibu sahihi utakaosaidia kuondoa usumbufu kwa abiria wao pamoja na wamiliki.

Akizungumza na EATV Meneja Leseni Barabara (LATRA) Leo Ngowi amesema hatua hiyo inakuja baada ya kuanzishwa mfumo wa ukataji wa tiketi kwa njia ya mtandao ambao unalengo la kuondoa upotevu wa mapato kwa wasafirishaji pamoja na kuondoa mlolongo wa kufuata tiketi katika vituo vya mabasi.

Ngowi amesema kuwa baada ya utafiti wa muda mrefu walibaini kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa abiria, kuongeza kuwa kwa sasa mfumo huo utasaidia upatikanaji wa taarifa muhimu ikiwemo kudhibiti upotevu wa mapato ya serikali na kuwezesha wasafirishaji kukopesheka kutokana na taarifa za miamala hivyo kuongeza uwekezaji.

"Abiria anapotaka kusafiri anaingia kwenye vituo vikubwa vya mabasi na mara nyingi kumekuwa na kero nyingi ikiwemo wamiliki kupoteza fedha ndyingi kwahiyo kwa kutumia mfumo huu hilo tatizo halitakuwepo na lingine ni kuweka takwimu sahihi ya idadi ya mabasi na mapato yanayopatikana" amesema Ngowi

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine