Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuchanganya Siasa, Biashara na Jamii ni makosa-CAG

Ijumaa , 5th Dec , 2014

Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali, Profesa Mussa Juma Asad amesema kuwa kuchanganya siasa na biashara na matatizo ya watu binafsi, katika shughuli za kiutendaji za ofisi yake ni kufanya kosa.

Rais Jakaya Mrisho kikwete akimuapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) Profesa Musa Juma Assad.

Asad amesema hayo jana mbele ya waandishi wa habari mara baada ya kufunguliwa kwa mkutano mkuu wa kila mwaka wa wahasibu na wakaguzi {NBAA} uliofanyika jijini Arusha katika jengo la AICC.

Amesema ofisi ya CAG na watendaji wengine watafanya kazi kwa kufuata maadili ya kazi na aliwaasa wana siasa na wafanyabishara kila mmoja aheshimu taaluma yake kwa faida ya nchi.

Mdhibiti Mkuu huyo ameendelea kusema kuwa iwapo kila mmoja atawajibika katika nafasi yake na kuaminiana katika shughuli za kila siku, ziwe na kitendaji na biashara hakutakuwa na matatizo yoyote.

Asad amesema kila mtaalamu wa fani hiyo anapaswa kujifunza mambo mapya, kwani kila kukicha teknolojia inakua hivyo nao wanapaswa kwenda na wakati.

Awali akifungua mkutano huo, Naibu Waziri wa Fedha Adamu Malima amewataka wataalamu wa uhasibu na ukaguzi kuwa wazalendo wa kweli kwa kulinda rasilimali za nchi ikiwa ni pamoja na kufuata maadili ya kazi yao bila ya kuyumbishwa.

Waziri Malima amesema iwapo hilo litazingatiwa ana uhakika mkubwa wa uchumi wa nchi kukua kwani taaluma hiyo ni kiini cha matatizo yote ya ulaji fedha hivyo wanapaswa kuwajibika kikamilifu.

Naye Mwenyekiti wa Bodi ya NBAA, Isaya Jairo amesema na kuwataka wataalamu kufanya kazi katika viwango vya kimataifa kwa masilahi ya nchi.

Jairo amesema kuwa kwa sasa bodi hiyo itawaleta wataalamu kutoka nje, kwa ajili ya mafunzo ya kazi katika sekta ya gesi na madini ili waweze kufanya shughuli hiyo kwa weledi mkubwa.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria