Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

KOICA yatoa msaada wa vifaa Dar es Salaam

Jumanne , 11th Aug , 2020

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume amesema kunahitajika zaidi ya magari 24 ya kubebea wagonjwa katika hospitali za serikali za mkoa wa Dar es Salaan kutokana na yaliyopo kwa sasa kutokidhi mahitaji.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume akipokea msaada wa vifaa tiba kutoka Jamhuri ya watu wa Korea

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume amesema kunahitajika zaidi ya magari 24 ya kubebea wagonjwa katika hospitali za serikali za mkoa wa Dar es Salaan kutokana na yaliyopo kwa sasa kutokidhi mahitaji.

Mganga Mkuu ametoa kauli hiyo leo Jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akipokea msaada wa vifaa tiba kutoka Jamhuri ya watu wa Korea kupitia Shirika lake la Maendeleo la KOICA ambavyo vitagaiwa katika hospitali tano za mkoa wa Dar es Salaam.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkazi wa KOICA Kyucheol Eo amesema KOICA itaendelea kuisaidia serikali ya Tanzania katika nyanja mbalimbali kwa lengo kuendeleza ushirikiano baina ya Tanzania na Jamhuri ya Korea.

 

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine