Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kipindupindu bado tishio la Maisha Tanzania-Azma

Alhamisi , 31st Dec , 2015

Serikali imesema kuwa Licha ya juhudi za wadau wa kimataifa na serikali, ugonjwa wa kipindupindu bado umeendelea kuuwa watu wengi nchini Tanzania huku changamoto kubwa ikibainishwa kuwa watu kutozingatia usafi wa mazingira na kanuni za Afya.

Mtaalamu wa afya ya jamii ya epodemiolojia Dk Azma Simba kutoka wizara ya afya (Mwenye t-shirt Nyeusi) akiwaeleza jambo wataalam wa Afya kutoka nje

Akizungumza kwa njia ya Simu na East Africa radio mtaalamu wa afya ya jamii ya epodemiolojia Dk Azma Simba kutoka wizara ya afya amesema kuwa licha ya kwamba kwa baadhi ya mikoa mlipuko wa kipindupindu unadhibitiwa lakini kwa ujumla ugonjwa unasambaa kwa kasi ambapo zaidi ya watu 12,000 wameripotiwa kuathirika na Ugonjwa huo.

Dkt. Simba amesema kuwa kile anachokiona kinakwamisha kutokomeza kwa kasi kipindipindu Tanzania ni kukosekana kwa ushirikiano toka kwa jamii katika kuitikia wimto wa utunzanji wa mazingira pamoja na kuzingatia kanuni za afya.

Takribani watu 200 wamefariki dunia kutokana na mlipuko wa kipindupindu nchini Tanzania ambao ulianza mnamo Agosti 15, 2015.

HABARI ZAIDI

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12