Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kaburi lafukuliwa kwa utata

Jumatatu , 20th Nov , 2017

Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro kwa kushirikiana na madaktari wa hospital ya rufaa ya KCMC limesema linaendelea na uchunguzi wa mwili uliofukuliwa kwenye makaburi ya Karanga mji mdogo wa Himo mjini Moshi.

Mwili huo ulifukuliwa jumapili chini ya usimamaizi wa Jeshi la Polisi na kufuatia utata uliojitokeza baada ya mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari Scholastica iliyopo Himo kupotea kwa siku kadhaa bila kuonekana.

“Tunaendelea na uchunguzi juu ya mwili huo na tayari kuna watu tumewakamata hivyo kila kitu kitakapokuwa sawa tutatoa ripoti kamili ya tukio hilo na wenzetu wa KCMC wanaendelea na uchunguzi wa mwili tulioufukua ili kujiridhisha kama ni wenyewe au sio”, amesema Kamishna Msaidizi wa Polisi Hamis Issa.

Humphrey Makundi, mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari ya Scolastica anatajwa kupotea tangu Novemba 7 mwaka huu akiwa shuleni.

Kutokana na kuwepo kwa taarifa za kuokotwa kwa mwili katika mto Ghona uliopo mita 300 kutoka shule hiyo na kukosekana kwa ndugu walioutambua, mahakama ililazimu kukubali ombi la familia ya Humphrey la kufukua kaburi hilo ili kuweza kutambua kama mwili huo ni wa mtoto wao.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali