Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jeshi la zimamoto wabaini kasoro kwenye mabasi 

Jumatano , 18th Mei , 2022

uelekea siku ya zimamoto kitaifa Mei 19, 2022 Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoa wa kuzima moto Temeke likiongozwa na Mrakibu msaidizi Michael Bachubira limefanya ukaguzi wa vifaa vya kuzimia moto katika kituo cha Mabasi yaendayo mikoa ya Kusini cha Mbagala rangi tatu

Zimamoto wamebaini baadhi ya mabasi hayana vifaa hivyo huku vingine vikiisha muda wake wa matumizi.

Ukaguzi huo umefanyika kwa lengo la kuhakikisha vyombo vya usafiri vinakuwa na vizimia moto huku zoezi hilo likienda sambamba na utolewaji wa Elimu ya matumizi ya vifaa hivyo.

"Tumeamua kufanya ukaguzi maalum kwenye kituo hiki cha mabasi kwa kuwa hapa kuna magari yanabeba watu wengi hivyo tujiridhishe usalama wa abiria na mali kwenye upande wa majanga ya moto endapo yatatokea na je wanaelimu ya kutumia vifaa walivyonavyo" Alisema ASF Michael Bachubira - Kamanda Mkoa wa zimamoto Temeke.

Mara baada kituo hicho Ukaguzi pia umeendelea katika soko la Temeke stereo kukagua mifumo ya moto soko ambalo limejaa wafanyabiashara wengi pamoja na kutembea katika maeneo ya mama lishe akitoa maelekezo ya kuacha njia kwenye Visima vya maji maarufu kama (FIRE HIDRANT)

"Hapa sokoni kuna mifumo ya maji na lengo la kufika hapa ni kujiridhisha na mifumo hii endapo inafanya kazi kwa usahihi kwa kuwa soko hili linakusanya watu wengi sana wafanyabiashara na wateja wanaofika sokoni hapa,hivyo niwaelekeze viongozi wa soko kuhakikisha njia za maji hazizibwi" alisema  ASF Michael Bachubira - Kamanda Mkoa wa zimamoto Temeke.

Kwa upande wa Uongozi wa soko la Temeke wamekiri uwepo wa changamoto sokoni hapo ikiwemo uwepo wa wafanyabiashara wengi wanaoziba njia wakiahidi kukomesha suala hilo

Siku ya kesho mei 19 wananchi wametakiwa kujitokeza Katika maadhimisho ya Jeshi la zimamoto na uokoaji viwanja vya Ilala Ili kupata elimu dhidi ya majanga ya moto na maokozi.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria