Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Jeshi la Polisi halitamvumilia mtu"- Mambosasa

Jumamosi , 17th Feb , 2018

Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi (SACP), Lazaro Mambosasa amesema wamefanikiwa kupata taarifa katika mtandao za mtu anayehamasisha vijana wa CUF kujitokeza kufanya vurugu kwenye vituo.

Kamanda Mambosasa ametoa kauli hiyo wakati akizungumza mubashara akiwa katika Jimbo la Kinondoni juu ya hali ya kiusalama na kusema hawajapata changamoto ya aina yeyote za kiharifu au waharifu.

"Kwa ujumla hali ya vituo vyote vya kupigia kura 610 vya Jimbo la Kinondoni vipo salama kabisa, hatujapata changamoto yeyote za kiharifu wala waharifu. Tunaendelea kusimamia upigaji kura", amesema Kamanda Mambosasa.

Pamoja na hayo, Kamanda Mambosasa ameendelea kwa kusema "nitoe onyo tu kwa wananchi, tunazo taarifa za mtu aliyeanzisha kwenye mtandao za kuwataka vijana wa chama cha CUF wajikusanye kuja kufanya fujo wakati wa kuhesabu au kutangaza matokeo. Jeshi la Polisi halitamvumilia mtu yeyote ambae atajaribu kuvuruga uchaguzi huu ambao kimsingi tunakwenda kumaliza salama".

Kwa upande mwingine, zoezi la kupiga kura sasa limekwisha fungwa kwa wananchi kulingana na sheria za Tume ya Uchaguzi ambako sasa wasimamizi wa vituo kwa kushirikiana na mawakala wa vyama mbalimbali wameanza kuhesabu kura zilizopigwa.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali