Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

#FAHAMU Baba wa Tupac alivyokuja kuishi Tanzania

Alhamisi , 24th Mei , 2018

Anaitwa Geronimo Pratt ambaye ni baba wa kiroho wa msanii nguli wa hip hop duniani, 2Pac Shakur, na pia ni member wa juu wa Black Panther nchini Marekani.

Pratt alizaliwa tarehe 13 Septemba, 1947, tarehe ambayo mtoto wake Tupac Shakur alifariki katika hospitali ya Las Vegas baada ya kupigwa risasi.

Brad alikuwa mtu wa karibu sana wa mama yake 2Pac Shakur, Afeni Shakur na aliyekuwa mume wake, Mutulu Shakur. (Mutulu Shakur ni baba wa kambo wa 2Pac ambaye ndiye alimlea)

Prat aliingia jeshini na alikuwa miongoni mwa askari waliopigana vita ya Marekani na Vietnam, mara baada ya kutoka jeshini alichukua masomo ya Sayansi ya siasa, na hatimaye kujiunga na Black pather, kundi ambalo liliundwa na Wamarekani Weusi kwa ajili ya kujitetea haki zao, na kufanikiwa kupewa uongozi wa juu kwenye kundi hilo ambalo lilitikisa Marekani.

Mwaka 1968 Geronimo alienda jela kwa tuhuma za kumuua mwanamke mmoja ambaye alikuwa mwalimu wa shule akiwa supermarket na mume wake, ambaye alijeruhiwa, na kumtaja Geronimo ndiye aliyefanya mauaji hayo.

Wakili wa Geronimo alijaribu kumtetea mteja wake kwa kusema kuwa siku ya tukio mteja wake hakuwa eneo la tukio, na alikuwa umbali wa mile 350, hivyo hakuhusika na mauaji hayo, lakini mahakama ilimkuta na hatia na kumuhukumu kwenda jela.

Akiwa jela aliweza kusoma masomo ya sheria na kuhitimu ili kumpa nguvu ya kujitetea kwenye kesi yake.

Geronimo aliachiwa huru na kufutiwa kesi yake baada ya miaka 27 kukaa jela, mnamo mwaka 1997. Kesi yake ilifutwa baada ya kugundua kuwa shahidi alikuwa ni 'informat' wa FBI, hivyo ikaonekana ni kesi ya kutengenezwa.

Baada ya kuachiwa huru walifungua kesi dhidi ya FBI kwa kumfunga kimakosa, kesi ambayo pia alijaribu kumtetea rafiki yake mkubwa kwenye kundi la Black Panther, Mumia Abu-Jamal. Kina Geronimo walishinda kesi hiyo na kulipwa dola million 2.75 .

Baada ya hapo Geronimo alikuja kuishi Tanzania bila watu kujua historia yake na kwa siri kubwa juu ya utambulisho wake, kwani nchini Marekani aliaminika kuwa miongoni mwa watu hatari. Aliishi Tanzania mkoani Arusha mpaka alipofariki June 2, 2011 , na kuacha familia yake wakiwemo mke na watoto.

 

 

 

Source:  2PacLegacy.net

HABARI ZAIDI

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera