Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

EAC imejikita katika kuimarisha uchumi-Majaliwa

Jumatano , 9th Mar , 2016

Waziri Mkuu wa Kassim Majaliwa amesema Jumuiya ya Afrika mashariki imejikita katika kuimarisha masuala ya uchumi ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya reli, barabara, Usafiri wa majini vitu ambavyo vitachochea kasi ya maendeleo kwa nchi wanachama.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa tano kikao cha nne cha bunge la tatu la Afrika Mashariki,Waziri Mkuu amesema nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki zimeweza kukuza pato lake baada ya kuondolewa kwa vikwazo vya fursa vya kibiashara.

Waziri Mkuu Majaliwa amelitaka bunge hilo lifanye mapitio katika kuboresha uondoaji wa vikwazo vya kibiashara na kufanya sekta binafsi ziweze kushiriki moja kwa moja katika biashara ndani ya jumuiya hiyo.

Kwa upande wake Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa kimataifa, Kikanda na Afrika Mashariki, Balozi Agustino Mahiga, amesema kuwa utengamano wa Afrika mashariki ni vizuri zaidi ukaelekezwa kwa kuinua uchumi Kwa wanachama kwa kutegemea zaidi biashara.

Nae Mbunge wa Jumuiya hiyo kutoka nchini Tanzania, Shyrose Bhanji ametaka utengamani wa jumuiya hiyo uwekwe zaidi kwa wananchi wa nchi wananchama badala ya viongozi kama ilivyosasa.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine