Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC Shinyanga aipokea timu ya Namthamini

Jumatatu , 27th Sep , 2021

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko ameipokea timu ya East Africa TV na East Africa Radio ambayo ipo wilayani humo kwaajili ya kugawa taulo za kike kwa wanafunzi kupitia kampeni ya Namthamini.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko

Mboneka ameeleza kuwa ni kweli kumekuwa na changamoto ya wanafunzi wa kike waliofika katika umri wa hedhi kutofika shuleni kwa kukosa taulo za kike hivyo ameishukuru East Africa TV, East Africa Radio pamoja na Flaviana Matata Foundation.

Aidha Jasinta Mboneko amesema kuna fursa kubwa ya watu kuwekeza wilayani humo hususani kwenye sekta ya uchimbaji madini hivyo anawakaribisha wawekezaji wengi wa ndani ambapo pia ujenzi wa uwanja wa ndege ukikamilika kutakuwa na fursa nyingi zaidi kwenye viwanda.

Wafanyakazi wa East Africa TV na East Africa Radio wakiwa na mkuu wa Wilaya ya Shinya Jasinta Mboneko (katikati)

''Huko nyuma tulikuwa na tatizo kubwa sana ila tumekuwa tukiwaelekeza walimu wakuu na wakuu wa shule kuhakikisha kila mwezi mara mbili mara tatu kuzungumza na watoto wa kike kuhusu hedhi salama na namna ya kujitunza na hii imechangia mimba za utotoni kupungua,'' ameeleza DC Jasinta.

Wafanyakazi wa East Africa TV na East Africa Radio wakiwa na mkuu wa Wilaya ya Shinya Jasinta Mboneko (katikati)

Ameongeza kuwa, ''hizi taulo za kike zimekuwa zikisaidia watoto wa kike kutokosa masomo katika wilaya yetu maana unakuta mtoto anakosa masomo takribani siku 5 kwa mwezi sasa ukipiga hesabu ni siku nyingi sana na anakosa vipindi vingi sana''.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria