Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC aagiza wachimbaji madini kukamatwa

Jumatatu , 12th Aug , 2019

Mkuu wa Wilaya ya Chato, Mtemi Msafiri, ameamuru kukamatwa kwa wachimbaji wakubwa wa madini katika eneo la Matabe wilayani humo, ambao wanadaiwa kuwa wasumbufu kwa wachimbaji wadogo wa madini katika eneo hilo.

Mkuu wa Wilaya Mtemi ametoa agizo hilo wakati akizungumza na wachimbaji  wadogo zaidi 1000, katika eneo la Matabe, kikao ambacho kilihudhuriwa na Naibu Waziri wa Madini, Constantine Kanyasu, ambapo amesema licha ya maamuzi hayo wachimbaji hao wafuate sheria.

Maamuzi hayo yamekuja kufuatia malalamiko mengi kutoka wachimbaji wadogo kuwalalamikia wachimbaji wakubwa.

"Malalamiko haya yanayotokea kwa wachimbaji hawa wadogo, sisi kama Serikali hatukubali kuyavumilia, OCD nakuagiza hakikisha wachimbaji wakubwa unawakamata na wanachukuliwa hatua za kisheria", amesema Mkuu wa Wilaya Mtemi.

Awali Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu, ameiagiza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), kupitia Menejimenti ya Shamba la Miti la Biharamulo mkoani Geita, idhibiti upanuzi wa uchimbaji madini unaofanywa na wachimbaji wadogo nje ya yale ambayo yanatambulika kwa shughuli hiyo katika Shamba hilo.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine