Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC aagiza wachimbaji madini kukamatwa

Jumatatu , 12th Aug , 2019

Mkuu wa Wilaya ya Chato, Mtemi Msafiri, ameamuru kukamatwa kwa wachimbaji wakubwa wa madini katika eneo la Matabe wilayani humo, ambao wanadaiwa kuwa wasumbufu kwa wachimbaji wadogo wa madini katika eneo hilo.

Mkuu wa Wilaya Mtemi ametoa agizo hilo wakati akizungumza na wachimbaji  wadogo zaidi 1000, katika eneo la Matabe, kikao ambacho kilihudhuriwa na Naibu Waziri wa Madini, Constantine Kanyasu, ambapo amesema licha ya maamuzi hayo wachimbaji hao wafuate sheria.

Maamuzi hayo yamekuja kufuatia malalamiko mengi kutoka wachimbaji wadogo kuwalalamikia wachimbaji wakubwa.

"Malalamiko haya yanayotokea kwa wachimbaji hawa wadogo, sisi kama Serikali hatukubali kuyavumilia, OCD nakuagiza hakikisha wachimbaji wakubwa unawakamata na wanachukuliwa hatua za kisheria", amesema Mkuu wa Wilaya Mtemi.

Awali Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu, ameiagiza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), kupitia Menejimenti ya Shamba la Miti la Biharamulo mkoani Geita, idhibiti upanuzi wa uchimbaji madini unaofanywa na wachimbaji wadogo nje ya yale ambayo yanatambulika kwa shughuli hiyo katika Shamba hilo.
 

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria