Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CHAMAWATA yawasilisha kilio kwa serikali,waajiri

Jumanne , 18th Aug , 2020

Sekta ya usafirishaji nchini imetajwa Kama chachu ya kuchangia kwa Kasi ukuaji wa Uchumi endapo Serikali itazidi kutengeneza mazingira rafiki kusimamia wadau,mifumo ikisimamia Sera.

Kauli hiyo inakuja Mara baada ya uwepo wa malalamiko mbalimbali ya madereva wanaosafirisha mizigo masafa Marefu kuwa Baadhi ya vipengele havifuatwi na waajiri wao ikiwemo mikataba licha ya Serikali kuweka wazi Sheria na utaratibu.

EATV  imefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa chama cha wafanyakazi wa maroli Tanzania(CHAMAWATA) Greyson Wimile Ambaye ameweka uhalisia ulivyo katika suala la mikataba.

"Ni kweli ndugu mwandishi tunachangamoto ya mikataba na inayotolewa mingi haikidhi masharti ya Ile iliyotolewa na serikali lakini waajiri bado wamekuwa sio waaminifu katika hilo."

Amesema huko nyuma serikali tayari iliweka utaratibu wa mikataba akiiomba wizara ya kazi kupitia maafisa wake kupita katika Makampuni yote kuona Kama yanafuata miongozo iliyowekwa.

Sera ya usafirishaji bado sio rafiki unajua uchumi unabebwa kwa kikubwa na sekta hii, madereva wanabeba uchumi utakumbuka kwenye kipindi Cha Covid 19 Madereva wameendelea kupambana kusafirisha mizigo."

Hata hivyo bw Greyson ametoa Rai kwa madereva,kutimiza wajibu wao Sambamba na waajiri wao kwa kuwa Uchumi kwa kiasi kikubwa umebebwa na sekta ya usafirishaji.

"Rai yangu kwa serikali niiombe Wizara ya kazi na ajira kuhakikisha inapitia maagizo iliyoyatoa kwa wamiliki Kama yanatekelezwa".

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine