Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM yatoa agizo kwa watendaji wa serikali

Alhamisi , 22nd Aug , 2019

Watendaji wa serikali wametakiwa kutokuwa vikwazo katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na serikali, ikiwemo miradi ya maji na barabara.

Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Ruvuma Odo Mwisho na kulia ni Katibu mkuu wizara ya Maji, Prof. Kitila Mkumbo.

Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Ruvuma Odo Mwisho, akiwa na kamati ya siasa ya mkoa kwenye ziara ya ufuatiliaji wa miradi inayotekelezwa na serikali katika wilaya ya Songea mkoani humo.

''Wizara yetu ya Maji imefikia mahala imebweteka sana, serikali inaweza kutenga fedha lakini mpaka mkandarasi azipate fedha hizo inachukua muda, inabidi tukutane na RAS ili atuambie wao kama mkoa tatizo lipo wapi kwasababu jukumu lao ni kuhimiza wizara ilete fedha hizo'', amesema Odo.

Aidha Mwenyekiti huyo, amewataka watendaji wa serikali katika ngazi zote wahakikishe wanasaidia chama hicho kutimizia ahadi zake kwa wananchi ili wasione kama wanadanganywa na serikali yao.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Songea Polilety Mgema, ameuelezea mradi huo wa maji kuwa ni mradi ambao ulianza kutekelezwa muda mrefu na wakandarasi waliondoka eneo la mradi kwa kukosa malipo hata kabla ya awamu ya tano kuingia madarakani.

Mradi huo upo katika kijiji cha Maweso halmashauri ya Madaba Wilayani Songea mkoani Ruvuma.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine