Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Asilimia 48 ya watoto hubakwa,kulawitiwa majumbani

Alhamisi , 16th Jun , 2016

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kuwa asilimia 48 ya watoto wanaolawitia na kubakwa inatokea katika familia na hivyo serikali itawachukulia hatua watu wote ambao watakamatwa kwa makosa hayo.

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kuwa asilimia 48 ya watoto wanaolawitia na kubakwa inatokea katika familia na hivyo serikali itawachukulia hatua watu wote ambao watakamatwa kwa makosa hayo.

Hayo yamesemwa leo Bungeni Mjini Dodoma na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ambapo amesema serikali ya awamu ya tano imejizatiti kwa kiasi kikubwa kwaajili ya kuwalinda watoto ambapo kila atakayetiwa hatiani kwa makosa hayo atafungwa miaka 30 jela.

Aidha Waziri Mwalimu ameeleza kuwa ni vyema jamii ikatoa ushirikiano kwa vyombo husika pale wanapobaini kutokea kwa matukio hayo katika jamii.

“Nahamasisha wazazi na walezi kuongeza jitihada za kuwalinda watoto wetu kwakuwa asilimia 48 ya ubakaji na ulawiti unatoka katika majumba yetu”alisema Mwalimu

Hata hivyo amesisitiza kuwa kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya mototo wa Afrika kuwa ni ubakaji na ulawiti kwa watoto vinaepukiaka chukua hatua kuwalinda watoto.

HABARI ZAIDI

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12