Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Anna Mghwira ahusishwa kesi ya Dc

Jumatano , 23rd Aug , 2017

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mh. Anna Mgwira amekiri kupokea malalamiko ya chama cha walimu mkoa wa Kilimanjaro (CWT) kumtaka ahakikishe Mkuu wa wilaya ya Hai, Mh.Gelasius Byakanwa anaomba radhi kwa walimu kwa kitendo cha kumdhalilisha mwalimu mwenzao

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, mama Anna Mghwira

Akizungumza na mwandishi wa East Africa Radio, Mama Anna Mghwira amesema taarifa hizo amezipokea na ofisi yake itafanyia kazi suala hilo, kadri walalamikaji walivyohitaji kwa kuwa wana haki ya kulalamikia suala hilo.

“Imefika na wameleta na sisi tumewaambia tutayafanyia kazi yale yanayotuhusu, ilikuwa ni lazima waje kuniona, kuna mapendekezo mengine ambayo yapo ndani ya mamlaka yao, kwa mfano wakisema wenyewe baada ya siku 30 wanataka kufungua kesi, nani atawazuia!? Hata ikiwa ni siku moja, ni haki yao, ni jukumu letu tunajua ilivyotkea, tunafuata taratibu za kawaida za kazi”, alisema Mama Anna Mghwira.

Mkuu wa wilaya ya Hai, Mh.Gelasius Byakanwa alifika shule moja iliyopo ukanda wa chini mwa wilaya ya Hai, na kumtaka mwalimu mmoja apige push up kwa kushindwa kujibu swali alilo uliza, ndipo akamuitia polisi na kumpeleka rumande bila kosa kisheria.

Msikilize hapa chini Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mama Anna Mghwira.

HABARI ZAIDI

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria