Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waliogoma kulipa tozo sasa wakubali 

Jumatatu , 13th Mar , 2023

Wafanyabiashara wa maduka mkoani Iringa wamesitisha mgomo wa kutokulipa tozo na kodi zilizo chini ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa baada ya machinga kuhamishwa na kupelekwa eneo la Mlandege ambalo wamepangiwa kufanya biashara zao.

Wafanyabiashara

Katibu wa jumuiya ya wafanyabaishara hao Kola Mtende amesema kuanzia sasa wataanza tena kulipa maduhuli ya Manispaa kama ilivyokuwa hapo awali baada ya zoezi la kuwaondoa wamachinga mbele ya maduka yao kufanikiwa

Miongoni mwa tozo zilizokuwa zimegomewa na wafanyabiashara hao ni tozo ya usafi, kodi ya leseni na kodi ya pango.

Ni takribani siku saba zimepita tangu lilipotolewa tamko na wafanyabishara hao wa mkoa wa Iringa kusitisha kulipa tozo zote zilizo chini ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, kutokana na kushindwa kuwapanga wa machinga katika maeneo waliyopangiwa na kupelekea mgongano wa maslahi kati ya makundi hayo mawili.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine