Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara mitumba washangilia kampeni

Ijumaa , 4th Sep , 2020

Baadhi ya wafanyabiashara wa viatu vya mitumba, mikoba katika eneo la Makumbusho Jijini Dar es Salaam wamesema kwa sasa hali ya biashara imeanza kurejea katika mzunguko wake wa kawaida kutokana na fursa mbalimbali zinazojitokeza tofauti na kipindi kifupi kilichopita cha wakati wa uwepo wa

Wafanyabiashara hao wamesema tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi kwao unafuu fulani umekuwepo kibiashara kutokana na watu kupata nafasi ya kuzunguka huku na huko ukilinganisha na kipindi ambacho watu wametoka katika corona.

"Afadhali kwa sasa biashara inaenda tukienda kwenye mikutano hatutoki kapa maana ndipo waetja walipo iendelee tu tuone na viongozi watakaoshinda watakuja na sera gani za kutusaidia sisi wapiganaji mtaani" amesema mmoja wa wafanyabiashara hao.

Akizungumzia utofauti uliopo wa kampeni zilizopita na sasa mmoja ya wafanyabiashara hao amesema kikubwa ni watu kuangalia jinsi wanavyoweza kutumia fursa hizo chache zinazojitokeza katika kipindi hiki.

Matarajio ya wafanyabiashara wengi wa bidhaa mbalimbali ni kukutana na fursa nyingi za kibiashara mara baada ya kuanza kwa kampeni za vyama vya siasa hali ambayo mpaka sasa bado haijaonesha kuchangamka sana.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90