Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wabunifu uchongaji walia na Serikali

Ijumaa , 18th Sep , 2020

Baadhi ya vijana wabunifu hasa katika sekta ya ufinyanzi na uchongaji wa mitungi ya mapambo ya maua, ambao kwa sasa imeajiri vijana wengi wameziomba mamlaka zinazojihusisha nao kuboresha soko la ndani.

Eatv hii leo imetembelea katika eneo la Mbezi Africana, maarufu kama kwa makaranga  ambapo kwa mujibu wa vijana wanaojihusisha na shughuli za kubuni na kutengeneza bidhaa hizo za vyungu wameelezea kuwa licha ya wao kupambana bado wanakabiliwa na sera zisizo rafiki, uhaba wa mitaji, pamoja na kukosekana kwa masoko ya uhakika  licha ya biashara hiyo kuwa ndio msingi wa maisha yao.

Licha ya ubunifu wanaofanya kuonesha kuwa na thamani kubwa kwa wageni wanaoingia nchini umeonekana kupewa thamani ndogo na sekta husika zinazosimamia sanaa na wabunifu licha ya kujairi kundi kubwa la watu katika fani mbali mbali.

Wabunifu hao hutumia sementi, nondo kutengeneza mapambo hayo ambayo bei hupanda juu kulingana na bei halisi ya malighafi wanazotumia.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90