Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Taasisi za kifedha zitoe elimu ya riba

Jumatano , 15th Feb , 2023

Baadhi ya wawekezaji katika sekta ya fedha nchini wamesema ni muda sahihi kwa taasisi za fedha nchini kushuka chini kwa wajasiriamali,wafanyabiashara wadogo kupitia mbinu mbalimbali ili kukuza mitaji yao kufuatia nchi kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wakubwa kwenye sekta mbalimbali.

Baadhi ya wawekezaji hao wamesema zipo mbinu mbalimbali katika kupanga kukuza mitaji kukuza uwekezaji katika mitaji ikiwemo kuweka fedha bila kutoa kwa kipindi fulani miezi 6 ama 12 ili kutengeneza riba fulani ambayo itahesabika kama faida uanzishwaji wa kampeni mbali mbali za mara kwa mara ambazo zitalenga kutangaza uwekaji akiba na ukopaji ulio rahisi

Katika mazungumzo na wataalaam hao wa fedha kutoka Taasisi ya fedha ya Mwanga Hakika wamesema kila taasisi za kifedha zimekuwa na fursa mbali mbali na nyingi zikiwa zimeshusha riba zao kwa ajili ya kuvutia wateja  sambamba na kuwasaidia wananchi

"Uanzishwa wa kampeni z mara kwa utasaidia taasisi za kifedha kukua lakini pia kuboresha maisha ya wateja wao hivyo niwasisitize tu wananchi kuwa na tabia ya kutembelea taasisi hizo kujua kampeni walizonazo na huduma ambazo wao wanaweza kunufaika nazo"Amesema Projest Massawe Mkuu wa idara ya biashara Mwanga Hakika

Imeelezwa kuwa wajasiriamali walio wengi hushindwa kufafanua juu ya maneno vigezo na masharti kuzingatia na kujikuta wengi wakitumbukia katika mikopo isiyo na manufaa kwao na kuishia kushindwa kukua kibiashara.

HABARI ZAIDI

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera