Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaombwa kuingilia kati bei ya Samaki

Ijumaa , 3rd Jun , 2022

Chama cha wavuvi nchini TAFU kimeiomba serikali kuingilia kati mabadiliko ya bei za uuzaji wa samaki viwandani zilizoporomoka kutoka elfu kumi na moja hadi kufikia elfu saba kwa kilo moja.

Mwenyekiti wa Chama cha wavuvi TAFU Bakari Kadabi

Mwenyekiti wa Chama cha wavuvi TAFU Bakari Kadabi ametoa ombi hilo jijini Mwanza na kusema kuwa kuporomoka kwa bei hiyo kunaweza kusababisha ongezeko la uvuvi haramu kutokana na wavuvi wengi kupata hasara kubwa.

‘Bei za Samaki zimeshuka sana kupita kiasi, kiasi kwamba wavuvi wetu wanapata hasara kubwa sana ukilinganisha bei za mafuta nazo zipo juu uendeshaji upo juu na bei zimeshuka viwandani kwahiyo ni hasara kwa wavuvi wetu"

"Matatizo ya wafanyabishara wa Samaki ndani ya viwanda yamekuwa yakishughulikiwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi tunaona ipo haja kwa Wizara ya viwanda na biashara kuhusika kwenye hilo" - ameeleza Kadabi

Katika hatua nyingine Kadabi amesema sasa ni muda muafaka kwa Wizara kuunda bodi ya pamoja itakayosaidia kufuatilia bei katika masoko makubwa ya kimataifa ili kupata bei elekezi.
Changamoto ya kupanda kwa bei katika viwanda vya samaki imetokea ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kuanzia mwezi wa tano.

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90